Hesabu 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hao ndio walioitwa wa kusanyiko, wakuu+ wa makabila ya baba zao. Hao ndio vichwa vya maelfu ya Israeli.”+ Yoshua 22:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 na wakuu kumi pamoja naye, mkuu mmoja kwa ajili ya kila nyumba ya ukoo wa upande wa baba ya makabila yote ya Israeli, na kila mmoja wao alikuwa ni mkuu wa nyumba ya baba zao katika maelfu ya Israeli.+
16 Hao ndio walioitwa wa kusanyiko, wakuu+ wa makabila ya baba zao. Hao ndio vichwa vya maelfu ya Israeli.”+
14 na wakuu kumi pamoja naye, mkuu mmoja kwa ajili ya kila nyumba ya ukoo wa upande wa baba ya makabila yote ya Israeli, na kila mmoja wao alikuwa ni mkuu wa nyumba ya baba zao katika maelfu ya Israeli.+