Hesabu 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hao ndio walioitwa wa kusanyiko, wakuu+ wa makabila ya baba zao. Hao ndio vichwa vya maelfu ya Israeli.”+ Kumbukumbu la Torati 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Tafuteni watu wenye hekima na busara+ na uzoefu+ wa makabila yenu, ili niwaweke wawe vichwa juu yenu.’+ Yoshua 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi hili ndilo fungu la urithi ambalo wana wa Israeli walichukua katika nchi ya Kanaani,+ ambalo Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya baba za makabila ya wana wa Israeli waliwapa kuwa urithi.+ Yoshua 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo wana wa Rubeni na wana wa Gadi na nusu ya kabila la Manase wakajibu+ na kusema na vichwa vya maelfu ya Israeli:+
16 Hao ndio walioitwa wa kusanyiko, wakuu+ wa makabila ya baba zao. Hao ndio vichwa vya maelfu ya Israeli.”+
13 Tafuteni watu wenye hekima na busara+ na uzoefu+ wa makabila yenu, ili niwaweke wawe vichwa juu yenu.’+
14 Basi hili ndilo fungu la urithi ambalo wana wa Israeli walichukua katika nchi ya Kanaani,+ ambalo Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya baba za makabila ya wana wa Israeli waliwapa kuwa urithi.+
21 Ndipo wana wa Rubeni na wana wa Gadi na nusu ya kabila la Manase wakajibu+ na kusema na vichwa vya maelfu ya Israeli:+