Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hao ndio walioitwa wa kusanyiko, wakuu+ wa makabila ya baba zao. Hao ndio vichwa vya maelfu ya Israeli.”+

  • Kumbukumbu la Torati 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Tafuteni watu wenye hekima na busara+ na uzoefu+ wa makabila yenu, ili niwaweke wawe vichwa juu yenu.’+

  • Yoshua 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi hili ndilo fungu la urithi ambalo wana wa Israeli walichukua katika nchi ya Kanaani,+ ambalo Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya baba za makabila ya wana wa Israeli waliwapa kuwa urithi.+

  • Yoshua 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo wana wa Rubeni na wana wa Gadi na nusu ya kabila la Manase wakajibu+ na kusema na vichwa vya maelfu ya Israeli:+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki