Methali 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+ Methali 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mtu wa kwanza katika kesi yake ni mwadilifu;+ mwenzake huingia naye hakika humchunguza kwa undani.+
17 Mtu wa kwanza katika kesi yake ni mwadilifu;+ mwenzake huingia naye hakika humchunguza kwa undani.+