14 mtatafuta na kupeleleza na kuuliza habari kabisa;+ na ikiwa jambo hili limethibitika kuwa kweli, jambo hilo lenye kuchukiza limefanywa katikati yako,
26 Naye akasema: “Bwana wangu mfalme, mtumishi wangu+ ndiye aliyenidanganya. Kwa maana mtumishi wako alikuwa amesema, ‘Acha nijitandikie punda-jike ili nimpande, niende pamoja na mfalme,’ kwa maana mtumishi wako ni kilema.+