4 nawe umeambiwa, ukasikia, ukatafuta kabisa, na, tazama! jambo hilo limethibitishwa kuwa kweli,+ jambo hilo lenye kuchukiza limefanywa katika Israeli!
15 “Shahidi mmoja asiinuke juu ya mtu kuhusu kosa au dhambi yoyote,+ kuhusu dhambi yoyote ambayo huenda akafanya. Kwa kinywa cha mashahidi wawili au kwa kinywa cha mashahidi watatu jambo hilo litathibitishwa vizuri.+