1 Wafalme 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nanyi mwaketishe watu wawili,+ watu wasiofaa kitu,+ mbele yake, nao watoe ushahidi juu yake,+ wakisema, ‘Umemlaani Mungu na mfalme!’+ Nanyi mtoeni nje na kumpiga kwa mawe ili afe.”+ Mathayo 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini asiposikiliza, chukua pamoja nawe mmoja au wawili zaidi, ili kwa kinywa cha mashahidi wawili au watatu kila jambo lipate kuthibitishwa.+ Mathayo 26:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 lakini hawakupata wowote, ijapokuwa mashahidi wengi wa uwongo walijitokeza.+ Baadaye wawili wakajitokeza Yohana 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Pia, katika Sheria yenu wenyewe imeandikwa, ‘Ushahidi wa watu wawili ni wa kweli.’+ 2 Wakorintho 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hii ndiyo mara ya tatu+ ambayo ninakuja kwenu. “Kwa kinywa cha mashahidi wawili au cha watatu kila jambo litathibitishwa.”+ 1 Timotheo 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Usikubali shtaka juu ya mwanamume mzee, isipokuwa tu kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au watatu.+ Waebrania 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+
10 Nanyi mwaketishe watu wawili,+ watu wasiofaa kitu,+ mbele yake, nao watoe ushahidi juu yake,+ wakisema, ‘Umemlaani Mungu na mfalme!’+ Nanyi mtoeni nje na kumpiga kwa mawe ili afe.”+
16 Lakini asiposikiliza, chukua pamoja nawe mmoja au wawili zaidi, ili kwa kinywa cha mashahidi wawili au watatu kila jambo lipate kuthibitishwa.+
60 lakini hawakupata wowote, ijapokuwa mashahidi wengi wa uwongo walijitokeza.+ Baadaye wawili wakajitokeza
13 Hii ndiyo mara ya tatu+ ambayo ninakuja kwenu. “Kwa kinywa cha mashahidi wawili au cha watatu kila jambo litathibitishwa.”+
28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+