Hesabu 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, Nadabu na Abihu walikufa mbele za Yehova walipotoa moto haramu+ mbele za Yehova katika nyika ya Sinai; nao hawakuwa na wana wowote. Lakini Eleazari+ na Ithamari+ waliendelea kutumikia wakiwa makuhani pamoja na Haruni baba yao. Hesabu 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nawe umvue Haruni mavazi yake,+ nawe utamvika Eleazari+ mwana wake mavazi hayo; naye Haruni atakusanywa, naye atakufa huko.”+
4 Hata hivyo, Nadabu na Abihu walikufa mbele za Yehova walipotoa moto haramu+ mbele za Yehova katika nyika ya Sinai; nao hawakuwa na wana wowote. Lakini Eleazari+ na Ithamari+ waliendelea kutumikia wakiwa makuhani pamoja na Haruni baba yao.
26 Nawe umvue Haruni mavazi yake,+ nawe utamvika Eleazari+ mwana wake mavazi hayo; naye Haruni atakusanywa, naye atakufa huko.”+