Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye Daudi akakomboa vyote ambavyo Waamaleki walikuwa wamechukua,+ na Daudi akakomboa wake zake wawili.

  • Zaburi 34:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mwadilifu ana misiba mingi,+

      Lakini Yehova humkomboa kutoka katika yote hiyo.+

  • Methali 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mwadilifu ndiye huokolewa kutoka katika taabu,+ na mwovu huingia badala yake.+

  • Methali 24:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana huenda mwadilifu akaanguka hata mara saba, naye hakika atasimama;+ lakini waovu watakwazwa na msiba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki