1 Samweli 30:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye Daudi akakomboa vyote ambavyo Waamaleki walikuwa wamechukua,+ na Daudi akakomboa wake zake wawili. Zaburi 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwadilifu ana misiba mingi,+Lakini Yehova humkomboa kutoka katika yote hiyo.+ Methali 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwadilifu ndiye huokolewa kutoka katika taabu,+ na mwovu huingia badala yake.+ Methali 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana huenda mwadilifu akaanguka hata mara saba, naye hakika atasimama;+ lakini waovu watakwazwa na msiba.+
18 Naye Daudi akakomboa vyote ambavyo Waamaleki walikuwa wamechukua,+ na Daudi akakomboa wake zake wawili.
16 Kwa maana huenda mwadilifu akaanguka hata mara saba, naye hakika atasimama;+ lakini waovu watakwazwa na msiba.+