Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 kwamba mfalme alitoa ruhusa kwa Wayahudi walio katika majiji yote mbalimbali wajikusanye+ na kusimama kwa ajili ya nafsi zao, waangamize, waue, na kuharibu jeshi lote la watu+ na wilaya za utawala zilizokuwa zikiwaonyesha uadui, watoto kwa wanawake, na kupora nyara zao,+

  • Methali 10:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Tarajio la waadilifu ni kushangilia,+ lakini tumaini lenyewe la waovu litapotea.+

  • Danieli 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na maliwali, manaibu wa maliwali, magavana na maofisa wakuu+ wa mfalme waliokuwa wamekusanyika wakawaona hao wanaume, kwamba ule moto haukuwa na nguvu juu ya miili yao,+ wala unywele wowote wa vichwa vyao haukuwa umeungua,+ wala hata nguo zao za kujitanda hazikuwa zimebadilishwa, wala harufu ya moto haikuwapata.

  • Danieli 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ndipo mfalme akafurahi sana,+ akaamuru Danieli atolewe ndani ya lile shimo. Na Danieli akatolewa ndani ya lile shimo, wala hakupatwa na dhara lolote, kwa sababu alikuwa amemtegemea Mungu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki