Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na barua zikapelekwa kwa mkono wa wajumbe+ kwa wilaya zote za utawala wa mfalme, ili kuangamiza, kuua na kuharibu Wayahudi wote, vijana kwa wazee, watoto kwa wanawake, katika siku moja,+ siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, yaani, mwezi wa Adari,+ na kuteka nyara na kuwapora.+

  • Esta 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 wana kumi+ wa Hamani+ mwana wa Hamedatha, yule aliyewaonyesha Wayahudi uadui,+ wakawaua hao; lakini hawakunyoosha mkono wao juu ya nyara.+

  • Esta 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Wayahudi waliokuwa Shushani wakajikusanya pia siku ya kumi na nne+ ya mwezi wa Adari, nao wakawaua watu mia tatu Shushani; lakini hawakunyoosha mkono wao juu ya nyara.+

  • Esta 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wale Wayahudi wengine waliokuwa katika wilaya za utawala+ wa mfalme, walijikusanya, wakasimama kwa ajili ya nafsi+ zao, wakajilipizia kisasi+ juu ya adui zao na kuua watu 75,000 kati ya wale waliowachukia; lakini hawakunyoosha mkono wao juu ya nyara,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki