Kutoka 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Andika hili katika kitabu+ liwe ukumbusho na uliseme masikioni mwa Yoshua, ‘Nitafutilia mbali kabisa ukumbusho wa Amaleki toka chini ya mbingu.’”+ Kutoka 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na kusema: “Kwa sababu kuna mkono dhidi ya kiti cha ufalme+ cha Yah,+ Yehova atakuwa na vita na Amaleki kizazi baada ya kizazi.”+ Hesabu 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Maji yanatiririka kutoka katika ndoo zake mbili za ngozi,Na mbegu yake iko kando ya maji mengi.+Mfalme+ wake pia atakuwa juu kuliko Agagi,+Na ufalme wake utainuliwa juu.+ Zaburi 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Utaangamiza wazaliwa wao kutoka duniani,+Na uzao wao kutoka kati ya wana wa binadamu.+ Zaburi 109:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wazao wake na wakatiliwe mbali.+Katika kizazi kinachofuata jina lao na lifutiliwe mbali.+
14 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Andika hili katika kitabu+ liwe ukumbusho na uliseme masikioni mwa Yoshua, ‘Nitafutilia mbali kabisa ukumbusho wa Amaleki toka chini ya mbingu.’”+
16 na kusema: “Kwa sababu kuna mkono dhidi ya kiti cha ufalme+ cha Yah,+ Yehova atakuwa na vita na Amaleki kizazi baada ya kizazi.”+
7 Maji yanatiririka kutoka katika ndoo zake mbili za ngozi,Na mbegu yake iko kando ya maji mengi.+Mfalme+ wake pia atakuwa juu kuliko Agagi,+Na ufalme wake utainuliwa juu.+