Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Andika hili katika kitabu+ liwe ukumbusho na uliseme masikioni mwa Yoshua, ‘Nitafutilia mbali kabisa ukumbusho wa Amaleki toka chini ya mbingu.’”+

  • Kutoka 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na kusema: “Kwa sababu kuna mkono dhidi ya kiti cha ufalme+ cha Yah,+ Yehova atakuwa na vita na Amaleki kizazi baada ya kizazi.”+

  • Hesabu 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Maji yanatiririka kutoka katika ndoo zake mbili za ngozi,

      Na mbegu yake iko kando ya maji mengi.+

      Mfalme+ wake pia atakuwa juu kuliko Agagi,+

      Na ufalme wake utainuliwa juu.+

  • Zaburi 21:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Utaangamiza wazaliwa wao kutoka duniani,+

      Na uzao wao kutoka kati ya wana wa binadamu.+

  • Zaburi 109:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wazao wake na wakatiliwe mbali.+

      Katika kizazi kinachofuata jina lao na lifutiliwe mbali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki