13 Nakala+ ya maandishi hayo ingetolewa kama sheria katika wilaya zote mbalimbali za utawala, ikitangaza kwa vikundi vyote vya watu, kwamba Wayahudi walipaswa kuwa tayari kwa ajili ya siku hiyo ili wajilipizie kisasi+ juu ya adui zao.
2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili+ na hulipiza kisasi; Yehova analipiza kisasi+ naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu.+ Yehova anawalipiza kisasi wapinzani wake,+ naye ana kinyongo juu ya adui zake.+
7 Basi, kwa hakika je, Mungu hatasababisha haki+ ifanywe kwa ajili ya watu wake waliochaguliwa ambao wanampaazia sauti mchana na usiku, hata ingawa ana ustahimilivu+ kwao?