Mathayo 10:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini nywele zenyewe za kichwa chenu zimehesabiwa zote.+ Luka 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na bado hata unywele+ mmoja wa vichwa vyenu hautaangamia. Matendo 27:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa hiyo ninawatia moyo mle chakula, kwa ajili ya usalama wenu; kwa maana hata unywele+ mmoja wa kichwa cha mmoja kati yenu hautaangamia.”
34 Kwa hiyo ninawatia moyo mle chakula, kwa ajili ya usalama wenu; kwa maana hata unywele+ mmoja wa kichwa cha mmoja kati yenu hautaangamia.”