Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Lakini watu wakamwambia Sauli: “Je, Yonathani afe, ambaye ametimiza wokovu+ huu mkubwa katika Israeli? Ni jambo lisilowaziwa!+ Kama anavyoishi Yehova,+ hakuna hata unywele mmoja+ wa kichwa chake utakaoanguka chini; kwa maana alifanya kazi na Mungu leo.”+ Hivyo watu wakamkomboa+ Yonathani, naye hakufa.

  • 2 Samweli 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini akasema: “Tafadhali, mfalme na amkumbuke Yehova Mungu wako,+ ili mlipiza-kisasi wa damu+ asilete uharibifu sikuzote, na kwamba wasimwangamize mwanangu.” Naye mfalme akasema: “Kama Yehova anavyoishi,+ hata unywele mmoja+ wa mwana wako hautaanguka chini.”

  • Mathayo 10:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Lakini nywele zenyewe za kichwa chenu zimehesabiwa zote.+

  • Luka 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini hata nywele+ za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope; ninyi ni wenye thamani kuliko shore wengi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki