-
Mwanzo 44:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Lakini wakamwambia: “Kwa nini bwana wangu anasema maneno kama hayo? Ni jambo lisilowaziwa kwamba watumishi wako wafanye lolote kama hilo.
-
-
Yoshua 22:29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Ni jambo lisiloweza kuwaziwa, kwa upande wetu, kwamba tumwasi Yehova kwa kupenda kwetu wenyewe na tugeuke nyuma leo tusimfuate Yehova+ kwa kujenga madhabahu kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa, toleo la nafaka na dhabihu zaidi ya ile madhabahu ya Yehova Mungu wetu ambayo iko mbele ya maskani yake!”+
-