29 Hatuwezi kamwe kuwazia kumwasi Yehova na kuacha kumfuata+ Yehova kwa kujenga madhabahu nyingine kwa ajili ya dhabihu za kuteketezwa, matoleo ya nafaka, na matoleo mengine, zaidi ya madhabahu ya Yehova Mungu wetu ambayo iko mbele ya hema lake la ibada!”+