14 Bali katika mahali ambapo Yehova atachagua katika moja la makabila yako ndipo utakapotoa matoleo yako ya kuteketezwa, na hapo ndipo utakapofanya yote ninayokuamuru wewe.+
12 Je, Hezekia siye aliyeondoa mahali pa juu+ na madhabahu+ zake kisha akawaambia Yuda na Yerusalemu: “Mnapaswa kuinama+ mbele ya madhabahu moja+ nanyi mfukize juu yake moshi wa dhabihu”?+