11 Lakini mwanamke huyo akasema: “Tafadhali mfalme, mkumbuke Yehova Mungu wako, ili mtu anayelipiza kisasi cha damu+ asilete maangamizi zaidi kwa kumuua mwanangu.” Mfalme akasema: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi,+ hakuna hata unywele mmoja wa mwana wako utakaoanguka chini.”