11 Lakini akasema: “Tafadhali, mfalme na amkumbuke Yehova Mungu wako,+ ili mlipiza-kisasi wa damu+ asilete uharibifu sikuzote, na kwamba wasimwangamize mwanangu.” Naye mfalme akasema: “Kama Yehova anavyoishi,+ hata unywele mmoja+ wa mwana wako hautaanguka chini.”