Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hata hivyo, Sauli akasema: “Mtu yeyote asiuawe leo,+ kwa maana leo Yehova ametimiza wokovu katika Israeli.”+

  • 1 Samweli 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na yale mauaji ya kwanza ambayo Yonathani na mchukua-silaha wake waliwapiga yakawa watu karibu 20 ndani ya nafasi inayolingana na karibu nusu ya uwanja unaoweza kulimwa na ng’ombe wawili.

  • 1 Samweli 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye alitia nafsi yake mkononi mwake,+ na kumpiga yule Mfilisti,+ hivi kwamba Yehova akatimiza wokovu+ mkubwa kwa ajili ya Israeli wote. Wewe uliona jambo hilo, ukaanza kushangilia. Basi kwa nini utende dhambi juu ya damu isiyo na hatia kwa kumfanya Daudi auawe+ bila sababu?”+

  • Nehemia 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa sababu hiyo ukawatia mkononi mwa adui zao,+ walioendelea kuwataabisha;+ lakini wakati wa taabu yao walikuwa wakikulilia,+ nawe mwenyewe ulikuwa ukisikia kutoka mbinguni kwenyewe;+ nawe kulingana na rehema+ zako nyingi ukawapa waokozi+ waliowaokoa kutoka mkononi mwa adui zao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki