Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na wakati Yehova alipowasimamishia waamuzi,+ Yehova akawa pamoja na mwamuzi huyo, naye akawaokoa kutoka mkononi mwa adui zao siku zote za mwamuzi huyo; kwa maana Yehova alikuwa akijuta+ kwa ajili ya kuugua kwao kwa sababu ya wakandamizaji+ wao na wale waliokuwa wakiwasukuma huku na huku.

  • Waamuzi 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wana wa Israeli wakaanza kumwita Yehova awape msaada.+ Ndipo Yehova akasimamisha mwokozi+ kwa ajili ya wana wa Israeli ili apate kuwaokoa, Othnieli+ mwana wa Kenasi,+ ndugu mdogo wa Kalebu.+

  • Waamuzi 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na wana wa Israeli wakaanza kumwita Yehova awape msaada.+ Basi Yehova akawasimamishia mwokozi, Ehudi+ mwana wa Gera Mbenyamini,+ mwanamume mwenye kutumia mkono wa kushoto.+ Baada ya muda wana wa Israeli wakapeleka ushuru kupitia mkono wake kwa Egloni mfalme wa Moabu.

  • 2 Wafalme 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Yehova akawapa Israeli mwokozi,+ hata wakatoka chini ya mkono wa Siria, na wana wa Israeli wakaendelea kukaa katika nyumba zao kama hapo mwanzoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki