Kumbukumbu la Torati 32:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+Naye atajuta juu ya watumishi wake,+Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetowekaNa aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani. Zaburi 90:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Urudi, Ee Yehova!+ Mpaka wakati gani?+Nawe ujute juu ya watumishi wako.+ Zaburi 106:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Naye akalikumbuka agano lake juu yao,+Naye akajuta kulingana na wingi wa fadhili zake kuu zenye upendo.+
36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+Naye atajuta juu ya watumishi wake,+Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetowekaNa aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani.
45 Naye akalikumbuka agano lake juu yao,+Naye akajuta kulingana na wingi wa fadhili zake kuu zenye upendo.+