Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye Yehova akaanza kujuta juu ya ule uovu aliokuwa amesema kwamba atawafanyia watu wake.+

  • Kumbukumbu la Torati 13:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na kitu chochote kisishikamane na mkono wako kutoka katika kitu kilichofanywa kuwa kitakatifu kwa marufuku,+ ili Yehova ageukie mbali kutoka kwa hasira yake inayowaka+ naye awape ninyi rehema,+ naye awaonyeshe rehema na kuwazidisha, kama vile alivyowaapia mababu zenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+

      Naye atajuta juu ya watumishi wake,+

      Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetoweka

      Na aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani.

  • Zaburi 135:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana Yehova atawatetea watu wake,+

      Naye atajuta kwa sababu ya watumishi wake.+

  • Amosi 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova akajuta juu ya jambo hilo.+ “Hilo halitatokea,” Yehova akasema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki