8 “Nawezaje kukuacha, Ee Efraimu?+ Nawezaje kukutoa, Ee Israeli?+ Nawezaje kukufanya uwe kama Adma?+ Nawezaje kukuweka uwe kama Seboiimu?+ Moyo wangu umebadilika ndani yangu;+ na wakati huohuo huruma zangu zimewaka.
10 Naye Mungu wa kweli akaona matendo yao,+ kwamba walikuwa wamegeuka kutoka katika njia yao mbaya;+ naye Mungu wa kweli akajuta+ juu ya msiba ambao alikuwa amesema ataleta juu yao; naye hakuuleta.+
16 Kwa hiyo ungameni+ waziwazi dhambi zenu kwa mtu na mwenzake na kusali kwa ajili ya mtu na mwenzake, ili mponywe.+ Dua ya mtu mwadilifu, inapofanya kazi, ina nguvu nyingi.+