Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+

      Naye atajuta juu ya watumishi wake,+

      Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetoweka

      Na aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani.

  • Zaburi 106:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Naye akalikumbuka agano lake juu yao,+

      Naye akajuta kulingana na wingi wa fadhili zake kuu zenye upendo.+

  • Hosea 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Nawezaje kukuacha, Ee Efraimu?+ Nawezaje kukutoa, Ee Israeli?+ Nawezaje kukufanya uwe kama Adma?+ Nawezaje kukuweka uwe kama Seboiimu?+ Moyo wangu umebadilika ndani yangu;+ na wakati huohuo huruma zangu zimewaka.

  • Yona 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye Mungu wa kweli akaona matendo yao,+ kwamba walikuwa wamegeuka kutoka katika njia yao mbaya;+ naye Mungu wa kweli akajuta+ juu ya msiba ambao alikuwa amesema ataleta juu yao; naye hakuuleta.+

  • Yakobo 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo ungameni+ waziwazi dhambi zenu kwa mtu na mwenzake na kusali kwa ajili ya mtu na mwenzake, ili mponywe.+ Dua ya mtu mwadilifu, inapofanya kazi, ina nguvu nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki