Kutoka 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Israeli wakauona pia ule mkono mkuu ambao Yehova aliufanya utende juu ya Wamisri; nao watu wakaanza kumwogopa Yehova na kuwa na imani katika Yehova na katika Musa mtumishi wake.+ Zaburi 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova mwenyewe atavihukumu vikundi vya watu.+Nihukumu, Ee Yehova, kulingana na uadilifu wangu+Na kulingana na utimilifu+ wangu ulio ndani yangu.
31 Israeli wakauona pia ule mkono mkuu ambao Yehova aliufanya utende juu ya Wamisri; nao watu wakaanza kumwogopa Yehova na kuwa na imani katika Yehova na katika Musa mtumishi wake.+
8 Yehova mwenyewe atavihukumu vikundi vya watu.+Nihukumu, Ee Yehova, kulingana na uadilifu wangu+Na kulingana na utimilifu+ wangu ulio ndani yangu.