9 Sitaonyesha hasira yangu inayowaka.+ Sitaharibu tena Efraimu,+ kwa maana mimi ni Mungu,+ mimi si mwanadamu, mimi ndiye Mtakatifu katikati yako;+ wala sitakuja nikiwa na hasira.
13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu;+ rudini kwa Yehova Mungu wenu, kwa maana yeye ana neema na rehema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo,+ naye hakika atajuta kwa sababu ya msiba huo.+