Waamuzi 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na wana wa Israeli wakaanza kumwita Yehova awape msaada.+ Ndipo Yehova akasimamisha mwokozi+ kwa ajili ya wana wa Israeli ili apate kuwaokoa, Othnieli+ mwana wa Kenasi,+ ndugu mdogo wa Kalebu.+ Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+ Zaburi 78:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kadiri alivyowaua ndivyo pia walivyouliza habari zake,+Nao wakarudi na kumtafuta Mungu.+ Zaburi 107:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada katika taabu yao;+Na kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao yeye akawaokoa kama kawaida.+ Yeremia 29:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na hakika mtaniita na kuja na kusali kwangu, nami nitawasikiliza.’+
9 Na wana wa Israeli wakaanza kumwita Yehova awape msaada.+ Ndipo Yehova akasimamisha mwokozi+ kwa ajili ya wana wa Israeli ili apate kuwaokoa, Othnieli+ mwana wa Kenasi,+ ndugu mdogo wa Kalebu.+
13 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada katika taabu yao;+Na kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao yeye akawaokoa kama kawaida.+