Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wana wa Israeli wakaanza kumwita Yehova awape msaada.+ Ndipo Yehova akasimamisha mwokozi+ kwa ajili ya wana wa Israeli ili apate kuwaokoa, Othnieli+ mwana wa Kenasi,+ ndugu mdogo wa Kalebu.+

  • Zaburi 50:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na uniite katika siku ya taabu.+

      Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+

  • Zaburi 78:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kadiri alivyowaua ndivyo pia walivyouliza habari zake,+

      Nao wakarudi na kumtafuta Mungu.+

  • Zaburi 107:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada katika taabu yao;+

      Na kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao yeye akawaokoa kama kawaida.+

  • Yeremia 29:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na hakika mtaniita na kuja na kusali kwangu, nami nitawasikiliza.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki