Waamuzi 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na wana wa Israeli wakaanza kumlilia Yehova,+ kwa sababu Yabini alikuwa na magari 900 ya vita yenye miundu ya chuma,+ naye kwa miaka 20 akawakandamiza wana wa Israeli+ kwa ukali. Waamuzi 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Israeli wakawa maskini sana kwa sababu ya Midiani; nao wana wa Israeli wakaanza kumwomba Yehova msaada.+ Waamuzi 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wana wa Israeli wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ wakisema: “Tumekutendea dhambi,+ kwa sababu tumemwacha Mungu wetu nasi tunatumikia Mabaali.”+ 2 Mambo ya Nyakati 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na mara tu jambo hilo lilipomtaabisha,+ akautuliza uso wa Yehova Mungu wake,+ akaendelea kujinyenyekeza+ sana kwa sababu ya Mungu wa mababu zake.
3 Na wana wa Israeli wakaanza kumlilia Yehova,+ kwa sababu Yabini alikuwa na magari 900 ya vita yenye miundu ya chuma,+ naye kwa miaka 20 akawakandamiza wana wa Israeli+ kwa ukali.
6 Na Israeli wakawa maskini sana kwa sababu ya Midiani; nao wana wa Israeli wakaanza kumwomba Yehova msaada.+
10 Na wana wa Israeli wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ wakisema: “Tumekutendea dhambi,+ kwa sababu tumemwacha Mungu wetu nasi tunatumikia Mabaali.”+
12 Na mara tu jambo hilo lilipomtaabisha,+ akautuliza uso wa Yehova Mungu wake,+ akaendelea kujinyenyekeza+ sana kwa sababu ya Mungu wa mababu zake.