Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na wana wa Israeli wakaanza kumlilia Yehova,+ kwa sababu Yabini alikuwa na magari 900 ya vita yenye miundu ya chuma,+ naye kwa miaka 20 akawakandamiza wana wa Israeli+ kwa ukali.

  • Waamuzi 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Israeli wakawa maskini sana kwa sababu ya Midiani; nao wana wa Israeli wakaanza kumwomba Yehova msaada.+

  • Waamuzi 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wana wa Israeli wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ wakisema: “Tumekutendea dhambi,+ kwa sababu tumemwacha Mungu wetu nasi tunatumikia Mabaali.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na mara tu jambo hilo lilipomtaabisha,+ akautuliza uso wa Yehova Mungu wake,+ akaendelea kujinyenyekeza+ sana kwa sababu ya Mungu wa mababu zake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki