3 Na wana wa Israeli wakaanza kumlilia Yehova,+ kwa sababu Yabini alikuwa na magari 900 ya vita yenye miundu ya chuma,+ naye kwa miaka 20 akawakandamiza wana wa Israeli+ kwa ukali.
4 Baada ya muda Yehoahazi akautuliza+ uso wa Yehova, hata Yehova akamsikiliza;+ kwa maana alikuwa ameona kukandamizwa kwa Israeli,+ kwa sababu mfalme wa Siria alikuwa amewakandamiza.+