Mwanzo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini taifa watakalolitumikia mimi ninalihukumu,+ na baada ya hapo wataondoka na mali nyingi.+ 2 Wafalme 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hata hivyo, Yehova akawapa kibali+ na kuwaonea rehema+ na kuwageukia kwa ajili ya agano+ lake na Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo;+ naye hakutaka kuwaangamiza,+ wala hakuwatupilia mbali kutoka mbele za uso wake mpaka sasa. Zaburi 105:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Amelikumbuka agano lake mpaka wakati usio na kipimo,+Neno ambalo aliamuru, mpaka vizazi elfu,+
23 Hata hivyo, Yehova akawapa kibali+ na kuwaonea rehema+ na kuwageukia kwa ajili ya agano+ lake na Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo;+ naye hakutaka kuwaangamiza,+ wala hakuwatupilia mbali kutoka mbele za uso wake mpaka sasa.