Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kumbukeni agano lake mpaka wakati usio na kipimo,+

      Neno ambalo aliamuru, mpaka vizazi elfu,+

  • Nehemia 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nami nikasema: “Ah, Yehova Mungu wa mbinguni, Mungu mkuu na mwenye kuogopesha,+ anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo kuwaelekea wale wanaompenda+ na kushika amri zake,+

  • Danieli 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nikaanza kusali kwa Yehova Mungu wangu, na kuungama na kusema:+

      “Ah, Yehova Mungu wa kweli, aliye Mkuu+ na Mwenye kuogopesha, anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo+ kwa wale wanaompenda na kwa wale wanaoshika amri zake,+

  • Luka 1:72
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 72 kufanya rehema kuhusiana na mababu zetu na kulikumbuka agano lake takatifu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki