Kumbukumbu la Torati 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana ni taifa+ gani kubwa ambalo lina miungu iliyo karibu nalo kama Yehova Mungu wetu alivyo tunapomwitia nyakati zote?+ Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+ Zaburi 65:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee msikiaji wa sala, kwako wewe watu wote wenye mwili watakuja.+ 1 Yohana 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+
7 Kwa maana ni taifa+ gani kubwa ambalo lina miungu iliyo karibu nalo kama Yehova Mungu wetu alivyo tunapomwitia nyakati zote?+
14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+