Kutoka 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao watanifanyia patakatifu, kwa maana mimi nitakaa katikati yao.+ Mambo ya Walawi 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na hakika mimi nitatembea katikati yenu na kujionyesha kuwa Mungu wenu,+ nanyi mtajionyesha kuwa watu wangu.+ Kumbukumbu la Torati 5:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana ni nani mwenye mwili wa nyama ambaye ameisikia sauti ya Mungu aliye hai+ ikisema kutoka katikati ya moto kama tulivyofanya sisi, naye akaendelea kuishi? Zaburi 46:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kwetu Mungu ni kimbilio na nguvu,+Msaada unaopatikana kwa utayari wakati wataabu.+ Zaburi 145:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.+
12 Na hakika mimi nitatembea katikati yenu na kujionyesha kuwa Mungu wenu,+ nanyi mtajionyesha kuwa watu wangu.+
26 Kwa maana ni nani mwenye mwili wa nyama ambaye ameisikia sauti ya Mungu aliye hai+ ikisema kutoka katikati ya moto kama tulivyofanya sisi, naye akaendelea kuishi?