23 Lakini niliwaamuru neno hili, nikisema: “Tiini sauti yangu,+ nami nitakuwa Mungu wenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu; na mtembee katika njia+ yote ambayo nitawaamuru ninyi, ili iwe vema kwenu.”’+
20 ili watembee katika sheria zangu na kushika maamuzi yangu ya hukumu na kuyatenda;+ na ili wawe watu wangu kwelikweli+ na ili mimi mwenyewe niwe Mungu wao.” ’+