2 Wafalme 14:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana Yehova alikuwa ameyaona mateso machungu sana ya Israeli.+ Hapakuwa na yeyote asiye na uwezo wala yeyote asiye na thamani, wala hapakuwa na msaidizi kwa ajili ya Israeli.+
26 Kwa maana Yehova alikuwa ameyaona mateso machungu sana ya Israeli.+ Hapakuwa na yeyote asiye na uwezo wala yeyote asiye na thamani, wala hapakuwa na msaidizi kwa ajili ya Israeli.+