16 Kati ya watu hao wote kulikuwa na watu 700 waliochaguliwa, wenye kutumia mkono wa kushoto.+ Kila mmoja wa hao alikuwa mtupa-mawe+ kwa kombeo na angeweza kupiga shabaha unywele, bila kukosea.
2 wenye upinde, wanaotumia mkono wa kuume na kutumia mkono wa kushoto+ wakiwa na mawe+ au wakiwa na mishale+ katika upinde.+ Walikuwa wa ndugu za Sauli, wa Benyamini.