15 Na wana wa Israeli wakaanza kumwita Yehova awape msaada.+ Basi Yehova akawasimamishia mwokozi, Ehudi+ mwana wa Gera Mbenyamini,+ mwanamume mwenye kutumia mkono wa kushoto.+ Baada ya muda wana wa Israeli wakapeleka ushuru kupitia mkono wake kwa Egloni mfalme wa Moabu.