Waamuzi 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Waisraeli wakamlilia Yehova awasaidie.+ Basi Yehova akawapa mwokozi,+ Ehudi+ mwana wa Gera, Mbenjamini+ aliyetumia mkono wa kushoto.+ Baada ya muda Waisraeli wakamtuma Ehudi apeleke ushuru kwa Egloni mfalme wa Moabu. Waamuzi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:15 w04 3/15 29-30; w97 3/15 29 Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:15 Mnara wa Mlinzi,3/15/2004, kur. 29-303/15/1997, uku. 29
15 Ndipo Waisraeli wakamlilia Yehova awasaidie.+ Basi Yehova akawapa mwokozi,+ Ehudi+ mwana wa Gera, Mbenjamini+ aliyetumia mkono wa kushoto.+ Baada ya muda Waisraeli wakamtuma Ehudi apeleke ushuru kwa Egloni mfalme wa Moabu.