Nehemia 9:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa sababu hiyo uliwatia mikononi mwa maadui wao,+ walioendelea kuwatesa.+ Lakini walipokuwa wakiteseka walikulilia, nawe uliwasikia ukiwa mbinguni; na kwa sababu ya rehema zako nyingi, uliwapa waokozi waliowaokoa kutoka mikononi mwa maadui wao.+ Nehemia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:27 Mnara wa Mlinzi,6/1/1986, uku. 31
27 Kwa sababu hiyo uliwatia mikononi mwa maadui wao,+ walioendelea kuwatesa.+ Lakini walipokuwa wakiteseka walikulilia, nawe uliwasikia ukiwa mbinguni; na kwa sababu ya rehema zako nyingi, uliwapa waokozi waliowaokoa kutoka mikononi mwa maadui wao.+