Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wakati wowote Yehova alipowapa waamuzi,+ Yehova alikuwa pamoja na mwamuzi huyo, akawaokoa kutoka mikononi mwa maadui wao sikuzote za mwamuzi huyo; kwa maana Yehova aliwahurumia*+ kwa sababu ya kilio chao cha uchungu kilichosababishwa na wale waliowakandamiza+ na wale waliowatesa.

  • Waamuzi 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Waisraeli walipomlilia Yehova awasaidie,+ Yehova aliwapa mwokozi ili awaokoe,+ Othnieli+ mwana wa Kenasi, ndugu mdogo wa Kalebu.

  • Waamuzi 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Waisraeli wakamlilia Yehova awasaidie.+ Basi Yehova akawapa mwokozi,+ Ehudi+ mwana wa Gera, Mbenjamini+ aliyetumia mkono wa kushoto.+ Baada ya muda Waisraeli wakamtuma Ehudi apeleke ushuru kwa Egloni mfalme wa Moabu.

  • 1 Samweli 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Yehova akamtuma Yerubaali+ na Bedani na Yeftha+ na Samweli,+ naye akawaokoa ninyi kutoka mikononi mwa maadui waliowazunguka, ili mwishi kwa usalama.+

  • 2 Wafalme 13:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Baada ya muda Yehoahazi akamsihi Yehova amwonyeshe kibali,* naye Yehova akamsikiliza, kwa maana alikuwa ameona jinsi mfalme wa Siria alivyowakandamiza Waisraeli.+ 5 Basi Yehova akawapa Waisraeli mwokozi+ ili awaokoe kutoka mikononi mwa Wasiria, na Waisraeli wakakaa katika nyumba zao kama awali.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki