Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha Yehova akasema: “Hakika nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; ninajua vema maumivu yao.+

  • Waamuzi 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Wakaondoa miungu ya kigeni waliyokuwa nayo na kumtumikia Yehova,+ naye hakuweza tena kuvumilia* kuwaona Waisraeli wakiteseka.+

  • 2 Wafalme 14:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana Yehova alikuwa ameyaona mateso makali sana ya Waisraeli.+ Hakukuwa na yeyote aliyebaki wa kuwasaidia Waisraeli, hata watu wasio na uwezo au walio dhaifu hawakuwepo. 27 Lakini Yehova alikuwa ameahidi kwamba hatafutilia mbali jina la Israeli kutoka chini ya mbingu.+ Kwa hiyo akawaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki