Yeremia 31:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Je, Efraimu si mwana mwenye thamani kwangu, au mtoto mpendwa?+ Kwa maana kila mara ninapomshutumu, bado ninamkumbuka. Ndiyo sababu hisia zangu zimechochewa* kwa ajili yake.+ Nami hakika nitamhurumia,” asema Yehova.+
20 “Je, Efraimu si mwana mwenye thamani kwangu, au mtoto mpendwa?+ Kwa maana kila mara ninapomshutumu, bado ninamkumbuka. Ndiyo sababu hisia zangu zimechochewa* kwa ajili yake.+ Nami hakika nitamhurumia,” asema Yehova.+