Kutoka 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Yehova akasema: “Hakika nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; ninajua vema maumivu yao.+ Waamuzi 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wakaondoa miungu ya kigeni waliyokuwa nayo na kumtumikia Yehova,+ naye hakuweza tena kuvumilia* kuwaona Waisraeli wakiteseka.+ Zaburi 106:43, 44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Aliwaokoa mara nyingi,+Lakini walikuwa wakiasi na kukosa kutii,+Nao walikuwa wakifedheheshwa kwa sababu ya makosa yao.+ 44 Lakini alikuwa akiona taabu yao+Na kusikia kilio chao cha kuomba msaada.+
7 Kisha Yehova akasema: “Hakika nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; ninajua vema maumivu yao.+
16 Wakaondoa miungu ya kigeni waliyokuwa nayo na kumtumikia Yehova,+ naye hakuweza tena kuvumilia* kuwaona Waisraeli wakiteseka.+
43 Aliwaokoa mara nyingi,+Lakini walikuwa wakiasi na kukosa kutii,+Nao walikuwa wakifedheheshwa kwa sababu ya makosa yao.+ 44 Lakini alikuwa akiona taabu yao+Na kusikia kilio chao cha kuomba msaada.+