11 Basi wakaweka wasimamizi wa kazi za utumwa* ili wawatumikishe na kuwakandamiza kwa kazi ngumu,+ nao wakamjengea Farao majiji yenye maghala, yaani, Pithomu na Raamsesi.+
34 Hakika nimeona jinsi watu wangu walio Misri wanavyokandamizwa, nimesikia kilio chao cha huzuni,+ nami nimeshuka ili kuwaokoa. Basi njoo, nitakutuma huko Misri.’