2 Wafalme 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baada ya muda Yehoahazi akautuliza+ uso wa Yehova, hata Yehova akamsikiliza;+ kwa maana alikuwa ameona kukandamizwa kwa Israeli,+ kwa sababu mfalme wa Siria alikuwa amewakandamiza.+
4 Baada ya muda Yehoahazi akautuliza+ uso wa Yehova, hata Yehova akamsikiliza;+ kwa maana alikuwa ameona kukandamizwa kwa Israeli,+ kwa sababu mfalme wa Siria alikuwa amewakandamiza.+