1 Wafalme 1:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Naye Sulemani akasema: “Ikiwa atakuwa mwanamume shujaa, unywele wake hata mmoja+ hautaanguka chini; lakini ikiwa ubaya utapatikana ndani yake,+ basi yeye atakufa.”+ Luka 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na bado hata unywele+ mmoja wa vichwa vyenu hautaangamia. Matendo 27:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa hiyo ninawatia moyo mle chakula, kwa ajili ya usalama wenu; kwa maana hata unywele+ mmoja wa kichwa cha mmoja kati yenu hautaangamia.”
52 Naye Sulemani akasema: “Ikiwa atakuwa mwanamume shujaa, unywele wake hata mmoja+ hautaanguka chini; lakini ikiwa ubaya utapatikana ndani yake,+ basi yeye atakufa.”+
34 Kwa hiyo ninawatia moyo mle chakula, kwa ajili ya usalama wenu; kwa maana hata unywele+ mmoja wa kichwa cha mmoja kati yenu hautaangamia.”