2 Naye Mfalme Nebukadneza akatuma watu wawakusanye maliwali, manaibu wa maliwali+ na magavana, washauri, waweka-hazina, waamuzi, mahakimu watekeleza-sheria+ na wasimamizi wote wa wilaya za utawala waje kwenye mzinduo+ wa sanamu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa ameisimamisha.