2 Kisha Mfalme Nebukadneza akatuma ujumbe ili kuwakusanya maliwali, wasimamizi, magavana, washauri, watunza-hazina, waamuzi, mahakimu, na wasimamizi wote wa mikoa* waje kwenye sherehe ya kuzindua sanamu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa amesimamisha.