Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 112:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+

      ש [Shin]

      Atasaga meno yake na kuyeyuka.+

      ת [Taw]

      Tamaa ya waovu itaangamia.+

  • Methali 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mwovu anapokufa, tumaini lake hupotea;+ na hata tarajio linalotegemea nguvu limepotea.+

  • Mathayo 25:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Na hawa watakatiliwa mbali milele,+ lakini waadilifu wataingia katika uzima wa milele.”+

  • 2 Wathesalonike 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watu hao watahukumiwa adhabu+ ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele ya Bwana na kutoka kwenye utukufu wa nguvu zake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki