Zaburi 112:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+ Methali 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwovu anapokufa, tumaini lake hupotea;+ na hata tarajio linalotegemea nguvu limepotea.+ Mathayo 25:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na hawa watakatiliwa mbali milele,+ lakini waadilifu wataingia katika uzima wa milele.”+ 2 Wathesalonike 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Watu hao watahukumiwa adhabu+ ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele ya Bwana na kutoka kwenye utukufu wa nguvu zake,+
10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+
9 Watu hao watahukumiwa adhabu+ ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele ya Bwana na kutoka kwenye utukufu wa nguvu zake,+