Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia!+ Nitafikia!+

      Nitagawa nyara!+ Nafsi yangu itajawa nazo!

      Nitauchomoa upanga wangu! Mkono wangu utawafukuzia mbali!’+

  • Zaburi 146:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Roho yake hutoka,+ naye hurudi kwenye udongo wake;+

      Siku hiyo mawazo yake hupotea.+

  • Mhubiri 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+

  • Luka 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki