Kutoka 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia!+ Nitafikia!+Nitagawa nyara!+ Nafsi yangu itajawa nazo!Nitauchomoa upanga wangu! Mkono wangu utawafukuzia mbali!’+ Zaburi 146:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho yake hutoka,+ naye hurudi kwenye udongo wake;+Siku hiyo mawazo yake hupotea.+ Mhubiri 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+ Luka 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+
9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia!+ Nitafikia!+Nitagawa nyara!+ Nafsi yangu itajawa nazo!Nitauchomoa upanga wangu! Mkono wangu utawafukuzia mbali!’+
5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+
20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+